WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Tuesday, November 8, 2016

BREAKING NEWS: PAUL MAKONDA AFICHUA SIRI YAKE NA SAMUEL SITTA

UMENISOMESHA na hata KUNIOZESHA, niseme nini ili DUNIA ielewe kuwa kwangu ulikuwa ZAWADI kutoka kwa MUNGU?https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2BZcy9_UNDSC08Vlsp7SifIV_7U3BftTdoqzLKN6Okl8QfjVeP9AhUh_jPhGYcilgRbtzCiBj4354kMcyGZHCYEFDxdlAHpBy4bGbFSfWJpQufGXuY6p2QIdaqDq77RmSzvbrfHHNBMHT/s1600/makonda.jpgPaul Makonda Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam

ASANTE BABA KWA KUNIFUNDISHA UONGOZI.
Siku zote umeniambia nianze na mambo MAGUMU kwanza ndiyo nifanye mambo MEPESI,
niwe na ngozi ngumu na wala nisikate tamaa. Hukuacha KUNIOMBEA na KUNITIA MOYO hata wakati unaumwa, hakika wewe ni MWALIMU MWEMA ambae alama zako hazitafutika kamwe maishani mwangu.
UMENISOMESHA na hata KUNIOZESHA, niseme nini ili DUNIA ielewe kuwa kwangu ulikuwa ZAWADI kutoka kwa MUNGU?
UNYENYEKEVU, UPOLE, na UJASIRI wako ni dira tosha ya kuwatumikia Watanzania ambao mpaka sasa nina uhakika unawaombea.
Nenda Mzee Sitta acha niendeleze VIWANGO na KASI kwani ndiyo urithi ulioniachia.
Mwanao Mpendwa,
Paul Makonda
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAurgsvxcl4ZwchCDfImMSyQ05xHLVNwMMn5zTXxsqT6jDCPHNi27T8tL1Ew8aVFKlmHBL9Ix4SiODZNsSzAJDLQftPtRI0Lm9nCKZ6hG3GSwAPo4l-khm9S2Lt7SlZKlkM1QGT1Z3WVzu/s640/IMG_20161107_081055.jpg

marehemu Samuel Sitta

No comments:

Post a Comment