WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Monday, November 14, 2016

KUMBUKUMBU NZURI KUTOKA MEZANI KWA MICHUZI

Rais Ali Hassan Mwinyi katika picha ya pamoja na kamati ya Saidi Taifa Stars Ishinde aliyoikaribisha Ikulu jijini Dar es salaam kwa kazi nzuri waliyofanya ya kuwezesha Taifa Stars kunyakua ubingwa wa Challenge Cup ya  Afrika Mashariki mwaka 1994. Toka wakati huo Tanzania haijashinda tena kombe hilo.

Waliosimama mbele toka kulia ni Ankal, Brigedia Moses Nnauye, Mwenyekiti wa chama cha soka (FAT) Alhaj Muhidin Ndolanga, Mhe. Rais, Profesa Philemon Sarungi (wakati huo waziri wa afya), Mwenyekiti wa kamati Mzee Reginald Mengi, Mbunge wa Dodoma Mhe. Kuwayawaya S. Kuwayawaya, na mwanahabari Richard Mwaikenda. 

Nyuma kutoka kulia ni Joseph Senga, Stephen Rweikiza, Deus Mhagale, Kanali Ali Mwanakatwe, Richard Ndassa, Japhet Sanga, Godfrey Lutego, nyuma yao ni Evarist Mwitumba, James Nhende, Meja Jenerali Makame Rashid na nyuma yake ni mwanahabari Edmund Msangi na mwandishi jina limenitoka.

No comments:

Post a Comment