WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Saturday, November 26, 2016

STRAIGHT BOOK: SULUHISHO LA WAFANYABIASHARA TANZANIA

 
Bi. Maua Rubibi.
umoja wa wafanya biashara ndogo ndogo mikoa ya kigoma,tabora, mwanza na Dar es salaam wamefurahia elimu ya mfumo mpya ya utunzaji wa kumbukumbu za kibiashara zao unaohusisha mauzo na bakaa (stocks) waliyopewa kwa njia ya mtandao wa Whatsapp na Afisa masoko wa taasisi ya Straightbook bi. Maua Ramadhani Rubibi hivi karibuni.

bi maua ameelimisha kuwa Straight ni huduma nafuu yenye  bei tofauti tofauti kulingana na uwezo na uhitaji wa mtumiaji,
 ''Ukitumia online utalipia 20elfu Kwa mwezi, utajiregister Kwenye website yetu www.straightbook.com ila ukifanyiwa installation kuna malipo ya aina tatu, Moja utalipia 25elfu kwa mwezi for single user ila njia ya pili kwa yule hataki kulipia mwezi mwezi atalipia laki5 kisha atatumia mfumo na kulipia laki moja moja kwa ajili ya upgrades na supports kila mwaka Njia ya mwisho ni kununua package na kutumia bila malipo mengine, hii utalipa mill 1.9 (million moja na laki9) utapata free supports na upgrades Kwa kipndi chote na Kwa idadi yeyote ya watumiaji, straightbook haina limit ya users na pia mnaweza kushare kwnye local network moja, karibu sana''.

No comments:

Post a Comment