WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Saturday, November 26, 2016

Maisha ya Fidel Castro katika picha

Picha za maisha ya Amri jeshi mkuu Fidel Castro,aliyeongoza mapinduzi ya kikomunisti na kuiongoza Cuba kwa miaka 50.
(PICHA HIZI NI KWA MUJIBU WA MTANDAO WA BBC SWAHILI.)
 Fidel Castol 

Fidel Castro alizaliwa mwaka wa 1926, azaliwa mkoa wa kaskazini mashariki wa oriente nchini Cuba na tajiri wa ukuzaji wa miwa. Alijiunga na siasa za mapinduzi akiwa na umri mdogo.Fidel Castol 
Baada ya miaka miwili jela kwa kuongoza mapinduzi yaiyotibuka, alienda mafichono nchini Mexico. Mwaka 1956 alirudi na chama chake cha mapinduzi kikaongoza.Castro mwishowe akapata mamlaka ya kuiongoza Cuba tarehe 1,mwaka 1959,kama waziri mkuu kwa kumshinda Fulgencio Batista
Fidel Castol 

Mwaka 1961,Castrol aliongoza kikosi chake cha jeshi dhidi ya raia wa Cuba 1,500 waliokuwa uhamishoni. waliohamishwa walikuwa wanafadhiliwa na CIA, walivamia Bay of Pigs ili kuishinda serikali yake Kennedy 

Alipata majaribio kubwa mwaka 1962 , pale rais wa Marekani John Kennedy alipomuonya kuondoa makombora yake kutoka cuba
Nikita Khrushchev na Castrol 

Mwishowe,viongozi Nikita Khrushchev na Castro waliondoa makombora na tishio la vita vya nyuklia vikazuiwa

Castrol
 Amri jeshi mkuu huyo alipenda kushiriki mchezo wa baseball. Hapa anaonekana akicheza katika chuo cha ualimu huko Sierra Maestra mwaka wa 1962.

CastrolWacuba wengi walimchukulia kama dikteta wa ukandamizaji??

 Raia wa Cuba 

Mamia ya raia wa Cuba walikimbia makwao,kuelekea Marekani,kwa kutumia maboti yaliokuwa hatari

Castrol
Castrol 

Baada ya kufanyiwa upasuaji wa utumbo, alimkabidhi rasmi madaraka ya urais kakake Raul.Alioneka mara chache,kabla ya kung’atuka madarakani mwezi Februari mwaka 2008 
 Castrol 

Mwezi Septemba, Fidel Castrol alihutubia umma kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne. Hotuba yake ilikuwa ya kwanza tangu mwezi Julai mwaka 2010 alipotoka kufanyiwa upasuaji wa utumbo. Alionekana kwa umma alipokuwa akisherehekea mwaka wa 90 wa kuzaliwa kwake mwezi Agosti

NOTE: BBC ni shirika la habari la Uingereza na pengine waliyoyaandika yanaweza yakatofautiana na msimamo wa kijamaa.

No comments:

Post a Comment