WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Monday, November 14, 2016

SPIKA NDUGAI ALISHIRIKI KUMZIKA SPIKA MSTAAFU SAMUEL SITTA URAMBO, TABORA

dg1 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Aggrey Mwanri mara baada ya kuwasili Mkoani humo kushiriki mazishi ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta.
 dg2 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akiwasili Nyumbani kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta Urambo, Tabora kushiriki mazishi ya Spika huyo Mstaafu.
dg3 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Y. Ndugai akimpa pole Hajjat Zuwena Fundikira Mama wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta
dg5  

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu.

 dg7 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akitoa salama za rambirambi wakati wa mazishi wa  aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta

No comments:

Post a Comment