WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Tuesday, February 7, 2017

BREAKING NEWS: ZITTO KABWE KUKAMATWA NA POLISI DODOM

 
Tokeo la picha la zitto kabwe 
Zitto Kabwe
wakati wabunge wote wa upinzani wakisusia kuendelea na vikao vya bunge mpaka washiriki mjadala wa kukamatwa kwa mbunge wa singida mashariki Tundu Lissu ambaye pia Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe ameutaarifu umma kwamba sasa ni zamu yake kukamatwa baada ya kujuzwa na watu wa ulinzi wa bunge kuwa anatafutwa na polisi kwa tuhuma ambazo hazijawekwa wazi.

''And today it's my turn I've been informed by parliamentary security personnel that police will arrest me for sedition details are not known''. Ameandika Zitto Kabwe katika Ukurasa wake wa mitandao ya Kijamii wa Twitter uliounganishwa moja kwa moja na Facebook.

No comments:

Post a Comment