WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Monday, February 13, 2017

UBUNGE BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI: WATANZANIA WATAKIWA KUTOA MAONI

Wananchi mbali mbali wanashauriwa kuanza kutoa maoni yao juu ya nani na nani wanastahili kuwa wabunge wa Bunge la Africa Mashariki bunge ambalo uchaguzi wake unatarajiwa kufanyika mwezi april mwaka huu katika kikao cha bunge la bajeti kutokana na kanuni za bunge hilo linalowataka wabunge wake kupatikana kwa kupigiwa kura na wabunge wa nchi wanachama.

kwa mtazamo wako nani anastahili kuwa mbunge na nani hastahili?, ili kutoa maoni yako hayo juu ya  mtu unayetaka au unayehisi anastahili kuwa mbunge wa Bunge lijalo la Afrika mashariki tafadhali Tuma email yako katika anuani yetu ya EMAIL: jamvilahabari@gmail.com
nasisi tutakusanya matokeo yote na kuyatoa kwa umma.

No comments:

Post a Comment