WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Tuesday, February 7, 2017

WAANDISHI WAWILI WAKAMATWA ARUSHA

Tokeo la picha la habariTaarifa kutoka wilayani Arumeru zinasema kuwa Waandishi wa Habari wawili Bahati Chume ambaye ni mwandishi wa kujitegemea anayeandikia gazeti la Kila siku la Kampuni ya Mwananchi Communications LTD la Mwananchi na Dorine Aloyce wa Kituo cha Radio cha Sunrise Radio wamekamatwa na Jeshi la Polisi na Wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Usariver.

No comments:

Post a Comment