WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Thursday, October 13, 2016

DIWANI CHADEMA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWKDFbhBSAX4ivGN_ygFdfRSpCF0hlWfppPpgVOaGBizCjoUmINMaM10A1tEKgT7MnP0axXqxFgOLV700e9MYVEyW4w6RrRsOfpkIlnVvMn4J6yl2LYQTfdh8I4Rljs1BmHI_U_RqJArc/s1600/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg
Katika hali isiyotarajiwa, Diwani maarufu wa Chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA hapa Sumbawanga, (Jina tunalihifadhi kwa sasa) Jana Saa tatu asubuhi amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoni hapa akiwa na Gobole na marobota ya madawa ya kulevya aina ya Bangi  Dukani mwake na sasa yupo chini ya uangalisi wa jeshi la polisi .
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7Sipey6qQh_Y9BnUJIUQ5rDQ9R5xRvGrD_5bKvdbBYKgdiIl4i_cpRxlYTt3CX7dwvrftZz5Nm9fcirpA7nqVzUx1kRCeW4g64Wrqcbjhkmabnf5Frc7Xq282yJ2gGIXG9KdnyauS3mB5/s1600/q.jpg
Habari zaidi tutawaletea

No comments:

Post a Comment