WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Saturday, October 1, 2016

MAKALLA AZINDUA DAWATI LA JINSIA JIJINI MBEYA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi25M_s9KzWV6swf6rGAltE2-NtRF5DzqmMM-p8UqBPCHV2vs3TOar5YFK6FIP3k-SQd5aS2L2myBmVjaHcf34AAR53ou9q9XjrykkVDQxlPIFW-T_YtxuVd94uwFSmwYr1Qb0ZKOedKVU/s1600/14.jpg

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla akifurahi Jambo wakati akihutubia katika uzinduzi huo wa Dawati la Jinsia Ulio fanyika katika Uwanja Wa Rwanda Nzovwe Jijini Mbeya.

 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPJ9b-LVrl1dljnJYjJGYldu8iwO8U5nLp1vcu7GauwMSdQQcnYcwfjh1eEGb-ibaeEMPZpxy1-Mt9jRxB2MlHcHZ6EcELnJOzKvJCXrM7AeztrWIHUQ62OGQ3NTBlfgWG_ExaVzymX2X3/s1600/17.jpgMkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla mwenye Suti ya Bluu akikata Utepe kuashiria kuwa Kituo Hicho Kimeanza kufanya kazi rasmi na Hakita munea huruma yoyote Atakae husika na kubainika ni miongoni mwa waalifu wanao fanya Vitendo vya Kikatili kwa Watoto Ikiwemo Ubakaji na Kulawiti watoto Jeshi La Polisi kupitia Dawati la Jinsia Litawashughulikia Vilivyo Waalifu na kuwafikisha kwenye Vyombo Vya Sheria.
MICHUZI BLOG

No comments:

Post a Comment