WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Sunday, December 18, 2016

Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela yauzwa MILIONI 20

Barua hiyo ilipigwa chapa na msaidizi wqa meneja wa HoteliBarua hiyo ilipigwa chapa na msaidizi wa meneja wa HotelMuhammad Ali alikaa kipindi cha majuma mawili nchini Afrika KusiniMuhammad Ali alikaa kipindi cha majuma mawili nchini Afrika Kusini.

Muhammad Ali alikuwa nchini Afrika Kisini kwa kipindi kifupi mwezi Aprili mwaka 1993 baada ya kuwasili muda mfupi baada ya kuuliwa kwa Chris Hani tarehe 10 mwezi Aprili.
Hani alikuwq kamanda wa kundi la Umkhonto We Sizwe, kundi lililojihami la ANC.
Alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya ubaguzi wa rangi na aliuaw mkereketwa mmoja nje ya nyumbayake eneo la Boksburg .






Barua wa Muhammmad Ali kwa Mandela

Chris Hani (kushoto)Chris Hani (kushoto).
BBC

No comments:

Post a Comment