WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Saturday, December 3, 2016

BREAKING NEWS: DIWANI KALYANGO AANZA KUTIMIZA AHADI YAKE KWA WAKAZI WA SANGANYIGWA MLIMA KIBIRIZI

Habari katika picha zinamuonyesha







Mhe.Diwani wa kata ya kigoma Hussein kalyango akiwa na Mtendaji wa Kata ya kigoma na kamati ya wananchi ya kuomba Hati miliki wakiwa na Mdhamini mkuu wa majengo wa serikali Bi.Evelyne Migasha na Eng.R.H.Mativila Mkurugenzi wa miundombinu katika ziara ya kuangalia nyumba zilizopitiwa na udhamini na kuangalia michanga inayojaza ziwa Tanganyika kama Ahadi ya Mhe Diwani wa Kata ya  kigoma

No comments:

Post a Comment