WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Wednesday, December 7, 2016

Mtoto wa Beckham, Cruz asainishwa na meneja aliyemtoa Justin Bieber

15338423_335477703498921_4624466754473558016_n
Cruz mwenye miaka 11, ni mtoto mdogo katika watoto watatu wa kiume wa Beckham. Jumatatu hii amefungua akaunti mpya ya Instagram itakayokuwa ikisimamiwa na meneja huyo na tayari ina followers zaidi ya 124.
Kwa mujibu wa TMZ, Scooter ni rafiki wa wazazi wake, David na Victoria, na wanaamini kuwa ni mtu sahihi wa kukuza kipaji chake. Jumatano hii, Cruz ameachia single yake ya kwanza, If Everyday Was Christmas.

No comments:

Post a Comment