WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Wednesday, December 7, 2016

Majibu ya Guardiola kukataa kumpa mkono Fabregas

pep-371105

Kitendo kile kilichukulia kama ni kuonyesha kukasilishwa na alichofanya Cesc kwa kumsababishia mchezaji Fernandinho kupewa kadi nyekundu na nakutolewa.
Waandishi wa habari walimuuliza swali hilo kocha Pep na hili ndio jibu lake “Nilimsalimia Cesc Fabregas tukiwa kwenye changing room.Sikuweza kumuona pale uwanjani wakati naongea na wachezaji wangu”.
Baada ya mechi hiyo kumalizika Pep alikua yupo bize kusalimiana na watu mbalimbali ikiwemo kuwapa mikono wachezaji wake.

No comments:

Post a Comment