WADHAMINI WETU

WADHAMINI WETU

Friday, December 2, 2016

RC MAKALLA NA OPERESHENI WEKA JIJI SAFI NA ONDOA MSONGAMANO MBEYA


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akiwa ameongozana na baadhi ya waendesha Bajaj wa eneo la Kabwe Jijini Mbeya, wakati alipofika kukutana nao ili kuwasikiliza, ambapo amesitisha kwa muda kuhamishwa kwa Waendesha Bajaj hao kituoni hapo mpaka hapo kituo kilichopendekezwa wao kwenda kifanyiwe marekebisho, pia ameagiza kuendelea kwa operesheni kwa Bajaji kufuata ruti na vituo walivyopangiwa ili kuepusha misongamano isiyo na lazima na kuhakikisha usafi unaendelea ili jiji la Mbeya liwe mfano wa kuigwa.



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akizungumza na vijana hao wanaojishughulisha na Uendeshaji wa Bajaj za abiria, eneo la Kabwe, Jijini Mbeya.

Baadhi ya madereva wa bajaji watumiao eneo la kabwe kuegesha bajaji zao wakizungumza na mkuu wa mkoa wa mbeya Amos Makalla (hayupo pichani). Na Mr.Pengo MMG-Mbeya.

No comments:

Post a Comment